Mgebuka Choma Festival Ndani ya Kigoma Leo.
https://alloycenyanda.blogspot.com/2015/10/mgebuka-choma-festival-ndani-ya-kigoma.html
Mwandishi:
Juma Shabani.
Mji wa
Kigoma na Viunga vyake itazizima kwa burudani saafi na ya kukata na shoka
katika viwanja vya Golden Beach. Concert
Hili linalofanyika kwa mara ya pili
mkoani Kigoma kwa jina the Mgebuka Choma Festival awamu hii litatumbuizwa na
Msanii Maarufu kwa jina la Timbulo.
Timbulo
aliyewasili mkoani Kigoma jana tarehe 2/10/2015 na kufanya show nzito mjini
Kasulu. Leo amejipanga kisawasawa kudondosha bonge la show hapa Kigoma mjini.
Sambamba na yeye vikundi kadhaa vya live band vitatumbuiza Katika show tamasha Hilo
.
Hii ni mara
ya pili kwa tamasha hili kufanyika. Mara ya kwanza msanii Bob Junior alifanya
vema na kulitambulisha vizuri tamasha hili na kuwa ni tamasha la kipekee
lililokusanya watu wengi kulingana na matamasha mengine.
Tamasha hili
linalofanyika kwenye fukwe za ziwa Tanganyika zinatarajiwa kufana kwa wateja
wakijipatia Migebuka choma huku wakiburudika kwa muziki na vinywaji mbalimblai.
Hali ya
wateja wa tamasha hii imeonesha hamasa na kulisubiri kwa hamu kubwa.
Niwatakie
concert njema.
