Novat:Serkali Yangu sio Sikivu kwa Vijana

Kijana Novat Karol kijana Mbunifu Ambae alimaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam Tanzania na kukosa Kazi na kuamua kujiajiri mwenyewe  akaanzisha kituo cha Kijamii Wilayani Sengerema kinachofanya shughuli za ubunifu ikiwa ni pamoja na Ujenzi i wa nyumba kwa kutumia chupa za makobo pamoja na ujenzi wa Matanki
Asema Serkali ya Tanazania hakika Haina Muda wa kusaidia Vijana wake hata kama Wanajiajiri wao Wenyewe 
Akiongea na Power of media Novat anasema kuwa hajawai kutazamwa na serkali wala kupewa   Msaada wa  eneo amabalo anaweza kutanua zaidi shughuli zake

Taarifa zaidi usikose kutusikia kupitia The POWER ONLINE RADIO



Mmoja ya Nyumba Zilizojengwa kwa kutumia Chupa za Maji

Related

Tanzania 3676053978561390056

Post a Comment

emo-but-icon

Tafuta Habari

Wasomaji

Tufuatilie Facebook

Maoni Yako

Name

Email *

Message *

item
Wordpress