Huyu Ndo MO MUSIC Mwandishi aliekacha taaluma na Kuwa Msanii
https://alloycenyanda.blogspot.com/2015/10/huyu-ndo-mo-music-mwandishi-aliekacha.html
![]() |
| MO MUSIC -Msanii wa Bongo Fleva |
Ukitaja jina la Mo Music Pasinashaka akilini mwako Swali la Kwanza litakaloibuka ni Ngoma zake kali kama ,Basi nenda,Nitazoea,Almasi Etc
the power media Ameamua kuanaza na historia ya Mo music pale ambapo imetimba na kuzungumza na baba yake mzazi Mzee Martin Katemi na Kuzungumza nae kuhusu Historia ya Huyu Mwandishi wa habari alieamua kuwa Msanii
‘Mimi ni
Martin Katemi baba mzazi wa Moshi nyie mnamfahamu kama Mo Music nina
watoto wawili wa kiume yeye ni wa pili,kijana wangu enzi za utoto
alikuwa anapenda sana kukaa na makundi ya vijana wenzake na kuna muda
alikuwa anakuja nao marafiki zake nyumbani’ – Martin Katemi
‘Kule walikuwa wanafanya uimbaji lakini sisi wazee tulifanya kazi kubwa sana ya kuchuguza ni kitu gani wanachokifanya kwani kule ni eneo ambalo huwa wanakaa wahuni wavuta bangi na watu wengine lakini tulivyokwenda tukawakutana wana ma guitar na vifaa vya muziki baadae ndipo tukaanza kuona matunda kutoka kwa Mo Music baada ya kutoka wimbo wake wa kwanza’ – Martin Katemi
‘Na nyumbani kwao Mo Music ndio kando kando ya huo Mlima na ndio maana alikuwa akienda huko kwenda kufanya mazoezi yake na marafiki zake’ – Martin Kat
Aidha Mkali huyu wa Bongo Fleva amabae kitaaluma ni mwandishi na amemaliza chuo kikuu cha St agustino Pale jijini mwaza na alikuwa kisomea maswala ya Mawasiliano ya umaa
Kabla ya mo kuwa msanii mkubwa alifanya Mapamabano makubwa ya Harakati za kupenya akiwa jijini mwanza
Miongoni mwa studio alizofanya nazo kazi japo mo aliwai kusikika kuwa hatodharau hizo studio japo ma producer wake kunawakati walionekana kukerwa na Yeye maana alikuwa akiwasumbua sana mara kwa mara
Mbunda Records,Delta Media Ni miongoni mwa studio alizowai kufanya nazo kazi
Usikose Mwendelezo wa Historia yake kupitia Power Online radio hivi karibuni

