NIGERIA :Wazazi wa Chibok kwenda Cameroon

Serikali ya Nigeria inawapeleka nchi jirani ya Cameroon baadhi ya wazazi wa wale wasichana waliotekwa nyara wa Chibok ,kurajibu kuthibitisha iwapo msichana mmoja anayesemekana alikuwa ametumwa kujilipua ni miongoni mwa wanafunzi waliotekwa nyara Chibok.
Msichana huyo alipokamatwa jana alisema yeye ni miongoni mwa wasichana wa Chibok 270 waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram hapo 2014.
Msichana mwengine aliyekuwa pamoja naye wakiwa wamejifunga vilipuzi pia amezuiliwa.
Serikali ya Nigeria imesema kuwa inapeleleza madai ya wasichana hao.
Kundi la wanamgambo wa Kiiislamu wa Boko Haram wamekuwa wakitumia walipuaji wa kujitolea muhanga wa kike katika kampeini yake ya kuzindua himaya yao Kaskazini mwa Nigeria.

Chanzo BBC SWAHILI

Related

Tanzania 430658379896136964

Post a Comment

emo-but-icon

Tafuta Habari

Wasomaji

Tufuatilie Facebook

Maoni Yako

Name

Email *

Message *

item
Wordpress