https://alloycenyanda.blogspot.com/2016/08/leroy-sane-ajiunga-na-man-city-kwa.html
hipukizi kiungo cha kati wa Ujerumani Leroy Sane amekamilisha uhamisho kwenda Manchester City kwa gharama ya pauni milioni £37m.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 20 ametia sahihi kandarasi ya miaka 5 baada ya kutokea Schalke O4.