Lowassa atua Bukoba kwa mara ya pili kuwafariji waathirika wa tetemeko
https://alloycenyanda.blogspot.com/2016/09/lowassa-atua-bukoba-kwa-mara-ya-pili.html
Aliekuwa waziri mkuu wa Tanzania Mh Edward Lowasa amewasili mjini Bukoba mkoani Kagera kuendelea Kuwafariji waathiriwa wa Tetemeko la Ardhi liliopelekea vifo vya watu 17 na kuharibiwa Kwa makazi na miundo mbinu
Baada ya kuwasili Mjini Bukoba Mh Edwad Lowasa am,elakiwa na Mwenyeji wake Mbunge Wa Bukoba Mjini Mh willfred Lwakatale na kwenda moja kwa moja mpaka eneo la Hamugembe na Kashai kwa lengo la kuwasalimu Wananchi walioathiriwa na Tetemeko
Mh lowasa Katika safari yake ameambatana na Mbuge wa Arusha Mjini GOBLES LEMA na Kada wa Chma cha chadema Khamis Mgeja ambae amesema atawasilisha Msaada kwa mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Mstaafu Salum Kijuu

