MSHINDI WA PILI WA TUZO ZA EJACT 2016 ATAMBA KUSHINDA
https://alloycenyanda.blogspot.com/2017/01/mshindi-wa-pili-wa-tuzo-za-ejact-2016.html
![]() |
| Lucas Maziku-Camera Man Star TV |
Alipokutana na mwandishi wa wa Power of Media alimweleza mwaka huu ana nafasi Kubwa ya kushinda kwa kuwa Ametuma kazi Nyingi Zaidi na Zenye ubora wa hali ya Juu huku akisisitiza kuwa Mwaka jana aligundua kosa lililomfanaya ashike nafasi ya pili
Lucas Maziku ambae ni Mhitimu wa Chuo kikuu Cha Saut na mwenye Ujuzi wa kuhariri picha na mwandishi wa Mwongozo amejinasibu kuwa Mwaka huu ni mwaka wenye Neema kubwa
Lucas Maziku amejizolea umaarufu Mkubwa nchini Tanzania kwa umahiri wake wa kuchanganya picha na kupiga picha katika matukio maarufu ya mwaka juzi wakati wa kampeni za uchaguzi
Hii ni Moja ya Picha ya alizopiga

